Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kushoto na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe (MB), wakishiriki Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Fedha na Uwekezaji wa jopo la Mapitio ya Uchumi Mpana wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika Mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC)
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt Mwigulu Lameck Nchemba akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Mawaziri wa Fedha na Uwekazaji kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa SADC uliohusu Mapitio ya Uchumi Mpana wa Jumuiya hiyo, uliofanyika mjini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC)
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-WF-Kinshasa, Congo DRC)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...