Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akifungua pazia kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la Kituo cha AFYA CHA Mama na Mtoto huko katika kijiji cha Kizimkazi Dimbani kusini Unguja alikokwenda kuweka jiwe la msingi la Kituo hicho kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 77 leo tarehe 05.07.2023. wapili ni mfadhili wa Ujenzi wa Kituo hicho ndugu Mohammed Jamal Alsaid. Picha na Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar.


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akipokelewa na waziri wa Afya wa ZANZIBAR Mhe. Nasro Ahmed Mazrui mara Mhe Othman alipowasili katika kijiji cha Kizimkazi Dimbani alikokwenda kuweka jiwe la msingi la Kituo cha AFYA Cha MAMA na MTOTO kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 77 leo tarehe 05.07.2023. anayeangalia ni mfadhili wa Ujenzi wa Kituo hicho ndugu Mohammed Jamal Alsaid. Picha na Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...