
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi) Ludovick Nduhiye, akihutubia Menejimenti na Wafanyakazi wa Bodi ya Mfuko wa Barabara (hawako pichani), kwenye kikao cha faragha cha Bodi hiyo kinachofanyika kwa siku mbili mkoani Singida.




Picha na Bodi ya Mfuko wa Barabara
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...