Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA. Prof. Sylvia Temu akizungumza na wadau waliofika kwenye mkutano wa kujadili na kupitia Mtaala mpya wa Masomo ya Bodi uliofanyika katika ukumbi wa NBAA jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Idara ya Elimu na Mafunzo, Peter Lyimo akitoa maelezo kuhusu mtaala mpya wa Masomo ya Bodi kwa wadau waliofika kupitia na kujadili mtaala huo uliofanyika katika ukumbi wa NBAA jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau wakisikiliza hotuba ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA. Prof. Sylvia Temu alipokuwa anafungua mkutano wa wadau waliofika kujadili na kupitia Mtaala mpya wa Masomo uliofanyika katika ukumbi wa NBAA jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau wakiwa kwenye makundi mbalimbali wakipitia na kujadili mtaala Mpya wa Masomo ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA)
Baadhi ya wadau walioshiriki mkutano wa kujadili na kupitia mtaala mpya wa masomo ya Bodi wakitoa maoni yao kuhusu Mtaala huo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Pius A. Maneno akifunga mkutano wa wadau waliofika kujadili na kupitia mtaala Mpya wa Masomo ya Bodi uliofanyika katika ukumbi wa NBAA jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...