Sightsavers Tanzania Inatekeleza mradi wa uwezeshaji kiuchumi kwa watu wenye Ulemavu, Lengo ni kujenga fursa sawa katika upatikanaji wa ajira na kujiajiri kwa watu wenye ulemavu.

Mradi unakusudia kuboresha ujuzi wa wahitimu wenye ulemavu kutoka vyuo vya ufundi stadi,vyuo vikuu na vyuo vya kawaida wenye taaluma na wafanyabishara wenye ulemavu ili kuwajengea ushindaji kwenye soko la ajira, fursa mbalimbali zitakozotolewa ni pamoja na mafunzo ya nadharia na vitendo.

Je, wewe una ulemavu wa aina yeyote? Je unatafuta ajira au unataka kuboresha biashara yako?  Tafadhali jiunge kupitia link hii  https://forms.office.com/e/y31V0qPuHY ili uweze kutuma maombi ya kuwa mshiriki katika mradi huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...