Mradi unakusudia kuboresha ujuzi wa wahitimu wenye ulemavu kutoka vyuo vya ufundi stadi,vyuo vikuu na vyuo vya kawaida wenye taaluma na wafanyabishara wenye ulemavu ili kuwajengea ushindaji kwenye soko la ajira, fursa mbalimbali zitakozotolewa ni pamoja na mafunzo ya nadharia na vitendo.
Je, wewe una ulemavu wa aina yeyote? Je unatafuta ajira au unataka kuboresha biashara yako? Tafadhali jiunge kupitia link hii https://forms.office.com/e/y31V0qPuHY ili uweze kutuma maombi ya kuwa mshiriki katika mradi huu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...