Mkuu wa Wilaya ya Uyui, Mh. Zakaria Mwansasu (kushoto) akisalimiana na mwakilishi wa JTI Leaf Services, Oscar Lwoga wakati kampuni hiyo ikikabidhi madawati Kwa shule za Uyui Kwa lengo la kuboresha hali ya elimu huku wageni wengine wakishuhudia.Hafla hiyo ilifanyika katika eneo la Ndono, Uyui hivi karibuni
Mkuu wa Wilaya ya Uyui, Mh. Zakaria Mwansasu (kushoto) akisalimiana na mwakilishi wa JTI Leaf Services, Oscar Lwoga wakati kampuni hiyo ikikabidhi madawati Kwa shule za Uyui Kwa lengo la kuboresha hali ya elimu huku wageni wengine wakishuhudia.Hafla hiyo ilifanyika katika eneo la Ndono, Uyui hivi karibuni

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...