Mkuu wa Wilaya ya Uyui, Mh. Zakaria Mwansasu  (kushoto) akisalimiana na mwakilishi wa JTI Leaf Services, Oscar Lwoga wakati kampuni hiyo ikikabidhi madawati Kwa shule za Uyui Kwa lengo la kuboresha hali ya elimu huku wageni wengine wakishuhudia.Hafla hiyo ilifanyika katika eneo la Ndono, Uyui hivi karibuni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...