Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, akizungunza katika uzinduzi Mradi wa Uwekezaji wa Afya ya Mama na Mtoto Tanzania
leo tarehe 23.08.2023 huko katika Uwanja wa Ndege Mjini Zanzibar lkatika hoteli
ya Golden Tulip Kiembesamaki. Uzinduzi
huo umefanyika kwa niaba ya rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk Husein Ali Mwinyi. Picha na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais
wa Zanzibar.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...