Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akizungumza na mfanyabiashara wa Arusha mjini, alipotembelea kusikiliza changamoto wanazokutana nazo, wakati wa ziara yake katika jiji hilo, iliyolenga kutatua changamoto mbalimbali wanazopitia wafanyabiashara na kuhamasisha matumizi sahihi ya Mashine za Kieletroniki za kutolea risiti (EFD), jijini Arusha.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) (kulia), akimsikiliza mfanyabiashara wa Arusha mjini, Bi. Eshmeli Kimei (kushoto), wakati wa ziara yake katika jiji hilo, iliyolenga kutatua changamoto mbalimbali wanazopitia wafanyabiashara na kuhamasisha matumizi sahihi ya Mashine za Kieletroniki za kutolea risiti (EFD), jijini Arusha.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akibandika tangazo (Sticker) la kuhamasisha wananchi kudai risiti halali zinazolingana na kiasi cha fedha walichotoa kila wanapofanya manunuzi na kutoa risiti wanapo uza bidhaa na huduma, wakati alipotembelea wafanyabiashara wa Arusha mjini, na kuhamasisha matumizi sahihi ya Mashine za Kieletroniki za kutolea risiti (EFD), jijini Arusha.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Arusha)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...