RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara kwenye mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 15 - 20 Septemba, 2023. Katika ziara hiyo ya mikoa ya kusini, Rais Samia atazindua na kukagua miradi mbalimbali pamoja na kusikiliza kero na matatizo ya wananchi.

Rais Samia pia atazindua Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini, kuzindua Chujio la Maji Mangamba, atakagua uwanja wa ndege na pia kuzindua barabara mkoani Mtwara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...