Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko, (kushoto), akizungumza katika Banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT), alipofanya ziara kwenye Banda la Benki hiyo kujionea shughuli wanazofanya, wakati wa ziara yake ya kukagua Mabanda katika Maonesho ya Teknolojia ya Sekta ya Madini yanayoendelea kwenye Viwanja vya EPZ- Bomba mbili, leo Septemba 23,2023 Mkoani Geita.

Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko, (kushoto), akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Mawasiliano Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Victoria Msina (wa kwanza kulia), wakati wa Ziara ya Naibu Waziri Mkuu alipotembelea katika Banda la Benki hiyo, kwenye Maonesho ya Madini Mkoani Geita.

Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Waziri wa Nishati Dkt. Dotto Biteko, (kushoto) akimsikiliza Meneja Msaidizi, Upatikanaji na Usimamizi wa akiba ya Fedha za kigeni nchini, Dkt. Anna Lyimo (wa pili kulia), alipokuwa akielezea jinsi Benki hiyo ilivyowekeza katika sekta ya Madini kwa kuanza kununua Dhahabu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...