Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Prof. Godius Kahyarara ameipongeza TPA kwa kushiriki na kudhamini maonesho ya Sita ya Kimataifa ya Teknolojia ya Madini yaliyofikia tamati leo tarehe 30 Septemba,2023 Katika Viwanja vya EPZ Bombambili Mjini Geita.
Amesisitiza umuhimu wa TPA kufanya Kampeni za Kimasoko ili kupanua Wigo wa biashara na Kampeni za Elimu kwa Umma ili kulinda Taswira ya TPA dhidi upotoshaji unaofifisha umuhimu wa Mamlaka yenye Mchango adhimu kwa Maendeleo ya Uchumi wa Taifa.
Maonesho haya yamefungwa na Makamu wa pili wa Rais Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdullah
Amesisitiza umuhimu wa TPA kufanya Kampeni za Kimasoko ili kupanua Wigo wa biashara na Kampeni za Elimu kwa Umma ili kulinda Taswira ya TPA dhidi upotoshaji unaofifisha umuhimu wa Mamlaka yenye Mchango adhimu kwa Maendeleo ya Uchumi wa Taifa.
Maonesho haya yamefungwa na Makamu wa pili wa Rais Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdullah
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...