![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEis996aU9FTOLkoHR1nMFbPY9ORgHuzQ_oh1bOQm0_LKbojZhyJe_nwS8KtZSkh07-8D-SKtn5SzXdsj2t6cffBUl_4pZMfsleqGriI6dE6qK_l4ykX94GFAEQ0nXNJqh3CekErOi6bIyLNDMAnyObnb2FhEkK_jMxUHj_2WIjdYbAlkSbpVXc-EQ/s16000/1.jpeg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQ0teKQbuXboVq-P4fiLeAy2Pf-xbOLkadrrIhqXCRnqUoq3ImGA83Fm_1vrtnTKAS30hJex2jDkxPVddECeU7mgQ7MFaydl5E3YUBocMb8_yTCT0SWrE5rlUSZ_Rv_ye4kFliYLu8d3-ucSj7jNexFQI4LI_x0HeozsZj9GOvhhVdUyva5vKUMA/w640-h480/2.jpeg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo (aliyekaa katikati) pamoja na akiwa pamoja na Mshauri wa Rais katika masuala ya Mabadiliko ya Tabianchi Dkt. Richard Muyungi (aliyekaa kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na vijana wa kitanzania wanaojishughulisha na shughuli za hifadhi ya mazingira katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi wakati wa Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika uliofanyika Nairobi, Kenya Septemba 06, 2023.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...