Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama.(kulia) akimsikiliza Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali Bw.George Lugome wakati akielezea kuhusu kazi ya mtambo wa kukata karatasi mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama.(kulia) akimsikiliza Mpiga Chapa Msaidizi Mkuu Bw.Ophin Malley mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama akiwa pamoja na Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali Bw.George Lugome akichukua maelezo kuhusu Mashine ya kuprint maandishi kutoka kwenye kompyuta kwenda kwenye bati (CTP) mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama akioneshwa nyaraka iliyochapwa na moja ya mashine katika kiwanda mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama akitazama nyaraka za Serikali zilizochapwa na moja ya mashine katika kiwanda mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama akitazama nyaraka za Serikali zilizochapwa na moja ya mashine katika kiwanda mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama akimsikiliza Fundi wa Mashine za utengenezaji wa mihuri Bw.Mohammed Ally mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.

Mpiga Chapa Msaidizi Bw.Mosses Sampa akimuonesha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama gazeti la Serikali la Kwanza kuchapishwa mwaka 1961 mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama akitazama baadhi ya vitabu katika maktaba ya Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama (kulia) akizungumza na Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali Bw.George Lugome kwenye maktaba ya Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista J. Mhagama (kulia) akimsikiliza Mpiga Chapa Msaidizi Bw.Pater Kikuli mara baada ya kufanya ziara kutembelea Idara ya Mpiga Chapa wa Serikali leo Septemba 14,2023 Jijini Dar es Salaam.


(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...