KAMPUNI kubwa ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet wamzindua duka linguine jipya la kubetia maeneo ya Mbagala Rangi 3 ambalo ni Max 99 huku nia na madhumuni ilikiwa ni ile ile kuwafikia wateja wao kwa ukaribu zaidi wale ambao hupenda kubeti madukani.

Uzinduzi wa duka hilo ni mwanzo wa endelezo la ufunguzi wa maduka mengine kibao ambao utafanywa na Meridianbet huku wakikusudia kulete mashine nyingi za sloti ambazo watu watazitumia wakati wa kucheza michezo mbalimbali ikiwemo Poker, Aviator na mingine kibao.

Uzinduzi wa duka hilo huko Mbagala liliongozwa na Mhariri mkuu wa Meridiabet Nancy Ingram ambaye alifika eneo la tukio na timu yake nzima na kuanza rasmi kuzindua duka hilo. Pia ujio wao ulipokelewa vizuri na wakazi wa eneo hilo wakifurahia duka hilo mwanzo wa msimu huu wa ligi mbalimbali Duniani.

"Kwenye duka hili ukiachana na kubeti mpira na kucheza keno, lakini pia wateja wetu watapata faida ya kucheza michezo ya sloti safi huhitaji kwenda kasino kila kitu unamalizia humu humu." Nancy Ingram.

NB: Bado Jakpoti inaendelea ndani ya Meridianbet ambapo kwa dau la shilingi 1000/= unaweza kubashiri mechi zako 13 na ukajipigia mkwanja wa shilingi 85,000,000. Ingia Meridianbet na ucheze sasa.

Duka ambalo limezinduliwa Mbagala Rangi 3 ni moja ya maduka ambayo ni makubwa ambayo kila ambacho utataka kitakuwepo, vilevile unaweza ukabashiri mubashara yani mechi zikiwa zinaendelea wewe weka dau lako suka jamvi na sikilizia maokoto baadae. Pia kuna michezo mingi sana kama Keno, Sloti mashine kama American Poker n.k tembelea tovuti ya meridianbet kubashiri michezo mingi www.meridianbet.co.tz

Wakazi wa Mbagala wamefurahia sana kuletewa mchezo wa “kindege” ambao unajulikana kama Aviator ambao umekuwa pendwa sana kwenye michezo ya kasino ya mtandaoni kutokana na kuwa rahisi kueleweka.

Meridianbet, Msimu Mpya Mzigo wa Kutosha
Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Endelea kutumia kampuni yako pendwa ya Meridianbet kufanya ubashiri wa mechi mbalimbali ambapo baada ya mapumziko ya kimataifa wiki hii ligi mbalimbali zinarejea pale EPL mitanange ipo kibao. LALIGA napo hapatoshi, yaani ukisogea ple BUNDESLIGA ndio hatari, kunako LIGUE 1 noma sana halafu malizia pale SERIE A.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...