Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan  katika Kilele cha Mdahalo wa Kitaifa  wa Baraza la Watu Wanaoishi na Virus vya Ukimwi ( NACOPHA) uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Jakaya Kikwete  jijini Dodoma, Septemba 7, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya washiriki wa Kilele cha Mdahalo wa Kitaifa   Baraza la Watu Wanaoishi  na Virusi vya Ukimwi  Tanzania  (NACOPHA)  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipozungumza kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Jakaya Kikwete  jijini Dodoma, Septemba 7, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa pamoja na viongozi  walioshiriki katika Kilele cha Mdahalo wa Kitaifa   Baraza la Watu Wanaoishi  na Virusi vya Ukimwi  Tanzania  (NACOPHA) wakiimba limbo wa taifa kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Jakaya Kikwete  jijini Dodoma, Septemba 7, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama bidhaa mbalimbali zilizotengenezwa na watu wanaoishi  na Virusi vya ukimwi  alipotembelea banda la Baraza la Watu Wanaoishi  na Virusi vya Ukimwi  Tanzania  (NACOPHA) katika Kilele cha Mdahalo wa Kitaifa  wa NACOPHA uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Jakaya Kikwete  jijini Dodoma, Septemba 7, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...