Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi mpya wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki uliongozwa na Mhe.Januari Makamba (wa pili kulia)akifuatiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mbarouk Nassir,akifuata Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Afrika Mashariki Mhe.Stephen Byabato (kushoto) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kujitambulisha.[Picha na Ikulu] 11/09/2023 .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Uongozi mpya wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki uliongozwa na Mhe.Januari Makamba (wa pili kulia)akifuatiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Mbarouk Nassir,akifuata Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Afrika Mashariki Mhe.Stephen Byabato (kushoto) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kujitambulisha.[Picha na Ikulu] 11/09/2023 .

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...