Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Naibu Spik awa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuashiria kupokea ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 iliyowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango pamoja na viongozi wengine katika picha ya pamoja mara baada ya kupokea ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 katika hafla iliyofanyika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na mkewe Mama Mbonimpaye Mpango  wakishuka katika ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 mara baada ya kuipokea katika  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango katika ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 mara baada ya kuipokea ilivyowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa hafla ya kupokea ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam. (tarehe 03 Oktoba 2023)

Ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 yenye uwezo wa kupakia abiria 181 ikiwasili nchini kwa mara ya kwanza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam.na kumwagiwa maji (water salute) leo tarehe 03 Oktoba 2023.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na marubani pamoja na watumishi wa shirika la ndege nchini ATCL mara baada ya mapokezi ya  ndege mpya ya abiria aina ya Boeing 737- MAX9 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (Terminal 1) Jijini Dar es salaam leo tarehe 03 Oktoba 2023.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...