Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimkaribisha Mgeni wake Rais waBenki ya Dunia Mhe.Ajay Banga wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe aliofuatana nao leo.[Picha na Ikulu] 05/12/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na  Mgeni wake Rais wa Benki ya Dunia Mhe.Ajay Banga (katikati) baada ya  mazungumzo yao yaliyofanyika leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe aliofuatana nao .[Picha na Ikulu] 05/12/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimkabidhi zawadi   Mgeni wake Rais wa Benki ya Dunia Mhe.Ajay Banga baada ya kumalizika  mazungumzo yao yaliyofanyika leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar   .[Picha na Ikulu] 05/12/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza  Mgeni wake Rais waBenki ya Dunia Mhe.Ajay Banga  wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe aliofuatana nao .[Picha na Ikulu] 05/12/2023.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza  Mgeni wake Rais wa Benki ya Dunia Mhe.Ajay Banga (katikati) wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe aliofuatana nao .[Picha na Ikulu] 05/12/2023.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...