Wakala wa usajili ufilisi na udhamini i (RITA )leo  wameshiriki maadhimisho ya wiki ya sheria yaliyoanza toka 24 -30 Januari katika viwanja vya  mnazi mmoja jijini Dar es salaam na viwanja vya nyerere Square mkoani Dodoma .   Wiki ya sheria  imezinduliwa  rasmi leo ambapo mgeni rasmi  katika maadhimisho haya kitaifa  mkoani Dodoma alikuwa  ni Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge duniani Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb). 

Katika maadhimisho haya wakala unatoa huduma mbalimbali ikiwa pamoja na elimu kuhusu huduma za Wakala,Ushauri wa kisheria  bure elimu juu ya kuandika na kuhifadhi Wosia na Mirathi,Usajili na  kutoa  vyeti vya kuzaliwa  pamoja na maelelzo ya kina kwa bodi za wadhamini wa Taasisi nyaraka muhimu  zinazohitajika wakati wa kusajili kwa njia ya mtandao na pia namna ya kufanya marejesho ya wadhamini



 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...