Wakina mama wakiomboleza baada ya kuona mwili wa Hayati Lowassa ukipitishwa katika viunga vya Jiji la Arusha.
Matukio katika picha .Mwili wa hayati Edward Ngoyai Lowasa ukiwasili katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro.
Msafara wa mwili wa Hayati Lowassa ukielekea nyumbani kwake Monduli kwaajili ya mazishi.
Madereva bodaboda nao hawakuacha mbali kusindikiza mwili wa Hayati Lowasa.
Pichani ni msafara wa Mwili Hayati Lowassa ukielekea Monduli.
Wanafunzi wakionyesha majonzi baada ya kupitishwa kwa mwili huo.
Wakina mama wakiomboleza.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...