Mwonekano mabango ya wadhamini wa mbio za Kilimanjaro Intarnational Marathoni,zinazo tarajiwa kufanyika febwari 25 katika viwanja vya Chuo kikuu cha ushirika moshi Mkoa wa Kilimanjaro.

Wakazi wa Mji wa Moshi na wageni toka mataifa mbalimbali,wakiwa kwenye foleni ya kuchukuwa namba za kukimbia Mbio za Kilimanjaro Intarnational marathoni 2024,zoezi la uchukuaji nambalinaendelea katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...