
“Ni ukweli usiopingika kuwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama chetu amekuwa kielelezo cha mafanikio makubwa yanayofikiwa na nchi yetu kwa sasa.”
Amesema tangu Dkt. Samia ashike madaraka ya Urais, ameendelea kutekeleza miradi yote ya kimkakati kama Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 ilivyoelekeza.
Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo leo, (Jumapili 25, Februari 2024) katika Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Kavuu, uliofanyika kwenye shule ya sekondari ya Mizeng…
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...