RAIS WA ZANZIBAR MHE. DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA BALOZI WA UINGEREZA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA NUTRI-SAN INAYOJENGA KIWANDA CHA MWANI CHAMANANGWE PEMBAYA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. David Concar, wakibadilishana mawazo baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao na Ujumbe wa Kampuni ya Nutri-San Ltd ya Uingereza, yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nutri-San ya Uingereza inayojenga Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Pemba na (kulia kwa Rais) Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. David Concar na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeeo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe.David Concar (kulia kwa Rais ) akiwa na Ujumbe wa Kampuni ya Nutri –San Limited ya Uingereza inayojenga Kiwanda cha Mwani Chamanangwe Pemba, ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nutri – San Ltd. San Chau (kulia kwake) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...