Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri akizungumza na watumishi wa Wizara ya Maji, katika kikao kilichofanyika Mji wa Serikali jijini Dodoma. Mhandisi Mwajuma ametumia kikao hicho kuwataka watumishi kujitoa kwa upendo katika kazi na kutumia weledi ili kufanikisha huduma ya maji kwa jamii.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...