Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani anayehusika na masuala ya Afrika, Mhe. Katja Keul kuhusu namna bora ya kushirikiana katika kukuza utalii na kuendeleza uhifadhi katika kikao kilichofanyika leo Machi 3,2024 jijini Dar es Salaam.



Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani anayehusika na masuala ya Afrika, Mhe. Katja Keul kuhusu namna bora ya kushirikiana katika kukuza utalii na kuendeleza uhifadhi katika kikao kilichofanyika leo Machi 3,2024 jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (katikati) amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani anayehusika na masuala ya Afrika, Mhe. Katja Keul (kushoto)kuhusu namna bora ya kushirikiana katika kukuza utalii na kuendeleza uhifadhi katika kikao kilichofanyika leo Machi 3,2024 jijini Dar es Salaam. Kulia ni Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Mhe.Hassan Mwamweta.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) akifurahia jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani anayehusika na masuala ya Afrika, Mhe. Katja Keul (kulia) mara baada ya kikao kati yao kuhusu namna bora ya kushirikiana katika kukuza utalii na kuendeleza uhifadhi katika kikao kilichofanyika leo Machi 3,2024 jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kushoto) katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani anayehusika na masuala ya Afrika, Mhe. Katja Keul (katikati) na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Mhe.Hassan Mwamweta(kulia) mara baada ya kikao kuhusu namna bora ya kushirikiana katika kukuza utalii na kuendeleza uhifadhi katika kikao kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani anayehusika na masuala ya Afrika, Mhe. Katja Keul kuhusu namna bora ya kushirikiana katika kukuza utalii na kuendeleza uhifadhi katika kikao kilichofanyika leo Machi 3,2024 jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...