MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wameendelea kumwaga mkwanja kwa washindi, Hii imekuja baada ya kupatikana kwa mshindi aliyebashiri bila bando na kufanikiwa kushinda shilingi 5,982,539.

Meridianbet inafahamika hua inatoa fursa kwa wateja wake kubashiri kwa bando kwa maana ya kwenye tovuti yao lakini pia unaweza kubashiri bila bando na ndio USSD ambapo mshindi wa ameptikana aliyeshinda kiasi cha 5,982,539.

Mshindi alifanikiwa kuweka timu 11 katika mkeka wake ambao ulikua una jumla ya ODDS 23,930 kwa dau la shilingi 250 tu na kufanikiwa kiwango hicho cha pesa, Hii inaonesha namna ambavyo inawezekana kujipigia mkwanja na mabingwa hao wa michezo ya kubashiri.

Mshindi wa leo anaendelea kuonesha fursa ya kupiga mkwanja na Meridianbet ni kubwa na inawezekana kupiga mkwanja, Kwani kwa dau dogo tu la shilingi 250 ameweza kuondoka na mzigo wa kutosha. Sasa unaweza kuendelea kubashiri bila bando kwa kupiga *

Suka mkeka wako kwenye michezo mikali itakayopigwa leo kwenye ligi ya mabingwa Afrika, Machaguo zaidi za 1000 yapo huku lakini vile vile Turbo Cash pia ipo. Unasubiri nini sasa? Ingia meridianbet na ubashiri sasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...