WANACHAMA wa Kishindo cha Mama kwa kushirikiana na TOGABE Mills watoa Msaada kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.

Wametoa misaada mbalimbali ya kibinadamu vikiwemo Unga, Maharage, Mchele, Mafuta ya Kupikia pamoja na nguo.
MKuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele (Watano kutoka kushoto) Wanachama wa Kishindo cha Mama na TOGABE Mills wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa na vyakula vilivyotolewa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.

Baadhi ya wanakibiti wakisaidia kushusha baadhi ya misaada iliyotolewa na Wanachama wa Kishindo cha Mama na TOGABE Mills mara baada ya kutolewa walipotembelewa na wanachama hao.
MKuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele na Wanachama wa Kishindo cha Mama na TOGABE Mills wakiondoka na vyakula vilivyotolewa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.



MKuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele (Wapili kutoka kushoto) akizungumza na Wanachama wa Kishindo cha Mama na TOGABE Mills mara baada ya kukabidhi msaada kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.

MKuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele akiwa na Tisheti aliyopewa na wanachama wa Kishindo Cha Mama.
Wanachama wa Kishindo cha Mama na TOGABE Mills wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kutoa Msaada kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.

Picha ya pamoja.

MKuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhiwa misaada na Wanachama wa Kishindo cha Mama na TOGABE Mills vilivyo kwa waathirika wa Mafuriko Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.
Afisa Masoko wa TOGABE Mills, Ramadhan Kimomwe akizungumza na waandishi mara baada ya kutoa msaada kwa waathirika wa Mafuriki Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...