![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWsqBIq9nTwyJxWRZaTolDhpoVsf-f1SQDmm96qqIYr52RWri48U-ITWpfOkQLeE7c8cjWtHy_C7M5SStNTy5C4G0WHVPi5d_OqLL1-L_KuVzn-761leBfwgtrMbMy1cixcOZ-RSi1nWt1vV16wF_E7AZbkwiTk9_6Jqcxe56rE1WSMssLLX2MzA/s16000/gtf.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Said Othman Yakub kuwa Balozi wa Tanzania nchini Comoro. Balozi Yakub anachukua nafasi ya Balozi Pereira Ame Silima ambaye amemaliza muda wake.
Uteuzi huu unaanza mara moja.
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...