Mabalozi wa Nchi za Afrika kukimbia Mbio za Africa Day zitakazofanyika Mai 18, 2024 jijini Dar es Salaam.

Mbio hizo ni kwaajili ya kusaidia Shule za wanafunzi wenye mahitaji maalumu zilizopo katika jijini Dar es Salaam. Mabalozi hao watatoa msaada katika shule ya Uuru Mchanganyiko, Jeshi la Wkovu, Jangwani na  Pugu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...