Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe (kushoto) akipata ufafanuzi kutoka kwa MwenyekitI wa Bodi ya PFCS (Pig Farmers Co-operative Society) Bw. Dotto Eliuphoo kuhusiana na ushirika huo ulivyojipanga kujenga machinjo ya kisasa ya Nguruwe kwa lengo la kuongeza thamani ya nyama hiyo alipokutana nao kwenye ofisi ndogo ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyopo Temeke Dar Es Salaam kwa lengo la kuomba kupatiwa eneo la ujenzi wa machinjio hiyo Mei 22, 2024.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe akitoa maelekezo kwa MwenyekitI wa Bodi ya PFCS (Pig Farmers Co-operative Society) Bw. Dotto Eliuphoo kuhusiana na aina ya machinjio inayohitajika ambayo itaendana na tekhnolojia iliyopo kwa sasa alipokutana nao kwenye ofisi ndogo ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Temeke Dar Es Salaam kwa lengo la kuomba kupatiwa eneo la ujenzi wa machinjio hiyo Mei 22, 2024.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalilimbali kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na wajumbe wa Bodi ya PFCS (Pig Farmers Co-operative Society) waliomtembelea kwenye ofisi ndogo ya Wizara iliyopo Temeke Dar Es salaam kwa kwa lengo la kuomba kupatiwa eneo kwa ajili ya ujenzi wa machinjio hiyo Mei 22, 2024

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...