![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi1uWvUylfWiVekU30FFnPYnaQMps_KEcu3XXwRCBoXdee-zDOJ0sivn0zusnWICMAA4zMyAYfJ2vUUDiYPtN9WRJOfUeR2Hx6ZTDel0cHxx1NIoaeIXgC1fqatKk-vGRiceNrtKO3dwFTh5ciYlxdoaLkXWjybvpsws85KJr0UL_B0OyrkW7spzLjuUXU/s16000/VideoCapture_20240531-124324.jpg)
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam- UDSM kinakualika katika maonesho ya wiki ya Utafiti na Ubunifu msimu wa 9 - 2024 yatakayofanyika 5 -7, June 2024 katika ukumbi wa Maktaba Mpya.
Akizungumza katika Ukaribisho huo, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo - Utafiti, Profesa Nelson Boniface amesema mwaka huu wamejipanga vyema hivyo washiriki wajitokeze kwa wingi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...