Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Maji Jumaa Aweso (Mb) akichangia hoja hiyo kabla ya kupitishwa Bungeni amesema Wizara ya Maji imejipanga kuwa mfano kwa Tanzania kwa kutafuta vyanzo vingine vya fedha ili kuwahudumia wananchi.
Ametolewa mfano wa Hatifungani ya Kijani iliyofanikiwa kwa kiwango kikubwa kupitia Mamlaka ya Majisafi Tanga (Tanga UWASA).
Waziri Aweso ameweka wazi kuwa Wizara ya Maji ilikuwa eneo la malalamiko na kero ila hivi sasa ni neema akisema miradi ya maji iliyokwama tangu miaka ya 70 hivi sasa imekamilishwa na wananchi wanapata huduma ya maji.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...