Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuwakilisha Makamu wa Rais. Dkt Philip Isdor Mpango kwenye mapokezi na maadhimisho ya sherehe ya kuwekwa wakfu kwa askofu msaidizi wa jimbo kuu la Mbeya Geofrey Jackson Mwakasega na Jubilei ya Miaka 125 ya Uinjilishaji jimbo kuu la Mbeya.
📍Uwanja wa Sokoine-Mbeya
đź—“️Mei 26, 2024



📍Uwanja wa Sokoine-Mbeya
đź—“️Mei 26, 2024




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...