Kaimu Mkuu wa Chuo cha Mabaharia Dar es Salaam (DMI), Dk Wilfred Kileo akizungumza katika warisha kuwajengea uwezo Mabaharia na Manahodha ikiwa ni Maadhimisho Siku Mabaharia Duniani.

Afisa Mkaguzi na Msajili wa Meli wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Captain Gadaf Chambo akizungumza naWaandishi habari kuhusiana Manahodha na Wavuvi juu ya matakwa ya kisheria usajili wa vyombo pamoja vifaa vya uokozi W katika kuelekea maadhimisho ya Siku ya Mabaharia Duniani Juni 25.


Baadhi ya picha katika Warsha ya mabaharia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...