Naibu Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara(CBE), anayeshughulikia Taaluma Utafiti na Ushauri Dk. Nasibu Mramba leo, Julai 09,2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara (Sabasaba), na kufika katika Banda la Chuo hicho ambapo pamoja na mambo mengine alipata nafasi ya kusikiliza kazi za kibunifu zilizifanywa na wanafunzi wa Chuo hicho.
Dk. Mramba alisema, Chuo hicho kimeboresha mitaala yake hivyo kutoa nafasi ya wanafunzi kujifunza darasani na kwa vitendo.
Dk. Mramba alisema, Chuo hicho kimeboresha mitaala yake hivyo kutoa nafasi ya wanafunzi kujifunza darasani na kwa vitendo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...