SHULE ya Mikocheni Islamic iliopo Mikocheni kwa Warioba jijini Dar es Salaam ilifanya ziara ya kimasomo Ijumaa ya Julai 19, 2024 kwenda Mbuga ya Wanyama ya Mikumi iliopo mkoani Morogoro. Walitumia usafiri wa Treni ya SGR kwenda Morogoro kama utalii wa ndani shule hiyo ni kwanza kusafiri na SGR. Walipofika Morogoro Station walipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika La Reli Tanzania (TRC) Mr Masanja Kadogosa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...