Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Khamis Juma akisaini kitabu  wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48  ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.


Jaji Mkuu wa Tanzania,  Profesa Ibrahim Hamis Juma  akipata maelezo kutoa  Afisa Bima  wa NIC Insurance  Deogratius Mlumba wakati  Jaji Mkuu hiyo alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48  ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambapo alipata elimu kuhusiana na Bima mbalimbali zinazotolewa na NIC katika Viwanja vya Sabasaba

Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Khamis Juma akisoma machapisho ya NIC  wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48  ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.


Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt.Eliezer Feleshi akisaini kitabu  wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48  ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

  Kamishina Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis  akipata maelezo kutoka Afisa Uhusiano wa NIC Insurance Enfransia Mawalla wa pili kutoka kutoka kushoto wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48  ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...