Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Khamis Juma akisaini kitabu wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Khamis Juma akisoma machapisho ya NIC wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dkt.Eliezer Feleshi akisaini kitabu wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Kamishina Mkuu wa Jeshi la Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis akipata maelezo kutoka Afisa Uhusiano wa NIC Insurance Enfransia Mawalla wa pili kutoka kutoka kushoto wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...