Afisa Uthibiti Ubora Mwandamizi wa NACTVET, Mohammed Mbasha akihudumia wananchi waliotembelea banda la NACTVET kwenye Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya Dole Kizimbani, Zanzibar
Wananchi na wadau mbalimbali wakipata huduma katika Banda la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kwenye Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya Dole Kizimbani, Zanzibar. Maonesho hayo yalianza tarehe 1 Agosti na yanaendelea hadi tarehe 14 Agosti, 2024.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...