Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga ni miongoni mwa wahitimu wa Chuo Kikuu cha Uhasibu Arusha (IAA) katika mahafali ya 26 ya chuo hicho yaliofanyika Disemba 13, 2024 katika Ukumbi wa Hotel ya Ngurdoto uliyopo Jijini Arusha.
Kamanda Senga ametunukiwa Shahada ya Uzamili katika Stadi za Amani na Usalama
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...