Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga ni miongoni mwa wahitimu wa Chuo Kikuu cha Uhasibu Arusha (IAA) katika mahafali ya 26 ya chuo hicho yaliofanyika Disemba 13, 2024 katika Ukumbi wa Hotel ya Ngurdoto uliyopo Jijini Arusha.


Kamanda Senga ametunukiwa Shahada ya Uzamili katika Stadi za Amani na Usalama



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...