Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, Ndugu Jokate Urban Mwegelo (MNEC) ameongoza Maelfu ya Vijana Korogwe katika Matembezi ya Amani ya maandalizi ya Mapokezi ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anayetarajia kuanza Ziara yake ya kikazi Mkoani Tanga tarehe 23 Februari, 2025.
Katika Matembezi hayo, Ndugu Jokate aliongozana na Ndg. Thobias Nungu, Mwenyekiti wa CCM Korogwe mjini, Ndg. Jessica Mshama, Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Korogwe Mjini, pamoja na Viongozi wengine wa Chama na Serikali.






Katika Matembezi hayo, Ndugu Jokate aliongozana na Ndg. Thobias Nungu, Mwenyekiti wa CCM Korogwe mjini, Ndg. Jessica Mshama, Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa, Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Korogwe Mjini, pamoja na Viongozi wengine wa Chama na Serikali.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...