
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Gesi Asilia wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) Dkt. Esebi Nyari kuhusu namna ya matumizi ya gesi katika vyombo vya moto wakati wa kukagua mabanda ya maonesho katika Mkutano wa 11 wa Petroli wa Afrika Mashariki unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC). Tarehe 05 Machi 2025.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa 11 wa Petroli wa Afrika Mashariki unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam. Tarehe 05 Machi 2025.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...