Meridianbet imeleta promosheni ya kusisimua kwa mashabiki wa kasino na ubashiri wa michezo! Sasa ni wakati wako kung’ara na kushinda SIMU 5 MPYA KABISA aina ya Samsung A25 kupitia ofa yao mpya ya "Jisajili, Weka Amana, na Cheza".

Ni rahisi kushiriki – fuata hatua hizi:

✅ Jisajili kwenye Meridianbet
✅ Weka amana kuanzia kiasi chochote
✅ Cheza kasino au ubashiri wa michezo

Ukimaliza hayo, jina lako linaingia moja kwa moja kwenye droo ya washindi wa Samsung A25 mpya – na unaweza kuwa mmoja wao.

Promosheni hii ni maalum kwa wateja wapya na waliopo, na inalenga kuleta msisimko zaidi katika ulimwengu wa burudani ya michezo ya kubashiri.

Kwa mujibu wa Meridianbet:
"Tunapenda kuwazawadia wateja wetu si tu kwa ushindi wa pesa, bali kwa zawadi halisi ambazo zinawagusa moja kwa moja. Simu mpya ni zawadi bora ya kidijitali kwa mteja wa kisasa."

Usikose bahati yako! Tembelea tovuti ya Meridianbet, jisaijili, weka amana, cheza na ushinde moja ya simu hizi 5 za kuvutia!

👉 Cheza leo – Simu mpya yako iko karibu yako!

MERIDIANBET – TUNAKUPA ZAIDI YA BASHIRI.

NB: JISAJILI SASA NA MERIDIANBET NA UJIPATIE BONASI BAAB KUBWA KATIKA MICHEZO YA KASINO NA SOKA. UNASUBIRI NINI? JISAJILI SASA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...