Na Mwandishi Wetu.

Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limeonesha kwa vitendo namna lilivyotekeleza ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi(CCM), 2020-2025 kwa uweledi na ufanisi mkubwa.

Jarida hilo ambalo lilisambazwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu, wageni na waalikwa limeonesha namna TANAPA ilivyotekeleza ilani hiyo na kupata mafanikio na upekee wa vivutio vya utalii nchini.

Katika nyakati tofauti wajumbe hao walionekana wakiperuzi jarida hilo katika makundi mbalimbali na wengine wakiwa mmoja mmoja.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...