Mmoja wa wahitimu akifanya wasilisho la mradi wa kundi lake katika kilele cha mafunzo ya Tehama (Code like a Girl) jijini Dar es Salaam. Mradi huo unaendeshwa na taasisi ya dLab kwa udhamini wa Vodacom Tanzania PLC, ikilenga kuwajengea wasichana ujuzi wa TEHAMA na kuwahamasisha kupenda masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM)












Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...