
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari akisaini kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Mhe. Cleopa David Msuya, tarehe 13 Mei, 2025 Bungeni Jijini Dodoma.
Hayati Cleopa David Msuya anazikwa nyumbani kwake Kijijini Chomvu, Usangi Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro leo tarehe 13 Mei, 2025.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...