Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwaongoza Wajumbe wa Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kusimama kimya kwa dakika moja, kwa ajili ya heshima ya Hayati Mzee David Cleopa Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia aliwahi kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa CCM. Sekreterieti hiyo chini ya uenyekiti wa Balozi Nchimbi, imekutana katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, leo Alhamis tarehe 8 Mei 2025.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...