Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali, wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Ndugu Masanja Michael Lushinge (smart) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Ndugu Said Mtanda, mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza.

Dkt Nchimbi, alikuwa safarini kuelekea Mkoa wa Simiyu kwa ziara ya kikazi ambako anatarajiwa kushiriki kongamano la Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT).

Akiwa uwanjani hapo, Balozi Nchimbi pia alikutana na kusalimiana na Mama Janeth Magufuli, mjane wa hayati Rais John Pombe Magufuli.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...