
Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa INCLU-CITIES unaodhaminiwa na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ubelgiji (ENABEL).
Baadhi ya matukio ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga Batlida Salha Burian mbalimbali ya upandaji miti.
Mwandishi Wetu
MKUU wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa INCLU-CITIES unaodhaminiwa na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ubelgiji (ENABEL).
Kupitia uzinduzi huo, chuo cha VETA-Tanga kinatarajia kupanda miti zaidi ya 1500 kutoka eneo la Kwa Minchi hadi Pongwe kama sehemu ya utekelezaji wa Mradi wa Green and Smart City (SASA) mkoani Tanga.
Miti hiyo itapandwa mita 10 pembezoni mwa barabara kuu ya Tanga - Korogwe ili kuukijanisha mkoa wa Tanga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...