ALIYEKUWA Nahodha Klabu ya Simba Mohammed Hussein ameachana na timu yake mara baada ya kuwaaga kupitia mitandao yake ya kijamii ambapo mkataba wake na wekundi wa msimbazi kufika tamati mwezi Juni mwaka huu.
Zimbwe mpaka sasa yupo huru kutafuta changamoto katika timu yoyote ambayo watafikia makubaliano.
Tetesi zinasemekana anahitajika na wanajangwani kwaajili ya kuwatumikia.


Zimbwe mpaka sasa yupo huru kutafuta changamoto katika timu yoyote ambayo watafikia makubaliano.
Tetesi zinasemekana anahitajika na wanajangwani kwaajili ya kuwatumikia.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...