Klabu ya Yanga SC imeweka Bajeti ya kiasi cha fedha zaidi ya Shilingi Bilioni 33 kwenye msimu ujao wa mashindano wa 2025 - 2026.
Bajeti hiyo ni ongezeko la asilimia 32 tofauti na msimu uliopita wa 2024 - 2025, ambapo Bajeti ya klabu hiyo ilikuwa Shilingi Bilioni 25.6 wakati matumizi yakiwa Shilingi Bilioni 25.3 wakati kiasi kilichobaki ni zaidi ya Milioni 300.
Kwenye bajeti ya Tsh. 33.6 kiasi cha Tsh Bilioni 12 kiasi ambacho kinatakiwa ili kufika malengo kwenye bajeti hiyo ya timu kuelekea msimu huo wa 2025 - 2026.

Bajeti hiyo ni ongezeko la asilimia 32 tofauti na msimu uliopita wa 2024 - 2025, ambapo Bajeti ya klabu hiyo ilikuwa Shilingi Bilioni 25.6 wakati matumizi yakiwa Shilingi Bilioni 25.3 wakati kiasi kilichobaki ni zaidi ya Milioni 300.
Kwenye bajeti ya Tsh. 33.6 kiasi cha Tsh Bilioni 12 kiasi ambacho kinatakiwa ili kufika malengo kwenye bajeti hiyo ya timu kuelekea msimu huo wa 2025 - 2026.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...